Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Leo Tarehe 8/4/2025 Samahat-Sheikh Suwailehe /Abdurah-aan katembelea Ofisi za BAKWATA Mkoani Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya kumzuru Sheikh wa Mkoa wa Kilimanjaro Samahat-Sheikh Mlewa na Katibu Mkuu BAKWATA Kilimanjaro Alhaj Awadhi Lema.
9 Aprili 2025 - 01:19
News ID: 1547813
Your Comment